Madaraka ni kwa ajili ya kuinua watu si kuwakandamizi – Guterres

Katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa hotuba maalum akisisitiza umuhimu wa kuendeleza maadili na maono ya Mandela ya amani, haki na utu wa binadamu. “Maisha ya…