Month July 2025

Msafara Wa Twende Butiama 2025 Wahitimishwa

Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha safari yao wilayani Butiama mkoa wa Mara eneo ambalo amezikwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Msafara huu umefadhiliwa na Vodacom Tanzania Plc…

Bryan Mbeumo Atua Man United kwa dau la pauni milioni 65

Manchester United imefikia makubaliano na Brentford kumsajili winga wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo, kwa dau la pauni milioni 65, linaloweza kupanda hadi pauni milioni 70 kutokana na nyongeza ya pauni milioni 5. Mbeumo, mwenye umri wa miaka 25, anatarajiwa…