Month July 2025

Lamine Yamal mashakani kuhusiana na mzozo wa walemavu .

izara ya Haki za Kijamii ya Uhispania imeitaka ofisi ya mwendesha mashtaka wa nchi hiyo kumchunguza winga wa Barcelona Lamine Yamal baada ya kuripotiwa kuwaajiri watu wenye ulemavu kutumbuiza kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka 18. Lamine Yamal aliandaa karamu…

Tetesi za soka Ijumaa: Wissa anapendelea kuhamia Tottenham

Mshambuliaji wa Brentford Yoane Wissa angependelea kumfuata meneja wa zamani wa Bees Thomas Frank kwenda Tottenham, licha ya Newcastle United kuonyesha nia ya kumnunua mchezaji huyo wa kimataifa wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), 28. (Talksport) Everton wamewasilisha ombi…