Month July 2025

Lamine Yamal mashakani kuhusiana na mzozo wa walemavu .

izara ya Haki za Kijamii ya Uhispania imeitaka ofisi ya mwendesha mashtaka wa nchi hiyo kumchunguza winga wa Barcelona Lamine Yamal baada ya kuripotiwa kuwaajiri watu wenye ulemavu kutumbuiza kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka 18. Lamine Yamal aliandaa karamu…

Tetesi za soka Ijumaa: Wissa anapendelea kuhamia Tottenham

Mshambuliaji wa Brentford Yoane Wissa angependelea kumfuata meneja wa zamani wa Bees Thomas Frank kwenda Tottenham, licha ya Newcastle United kuonyesha nia ya kumnunua mchezaji huyo wa kimataifa wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), 28. (Talksport) Everton wamewasilisha ombi…

Kigoma yamulikwa miradi lukuki ya SEQUIP

Serikali Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa kiasi cha zaidi ya Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani Kigoma.…

Ugonjwa Hatari Wamkabiri Raisi Wa Marekani

Donald Trump anaugua ugonjwa sugu wa mshipa, Ikulu ya Marekani ilitangaza siku ya Alhamisi, baada ya siku kadhaa za uvumi kuhusu picha zinazoonyesha michubuko kwenye mkono wa rais huyo wa Marekani. Baada ya hivi karibuni kupata uvimbe kwenye miguu yake,…

1Win Azərbaycan — bukmeker və kazino iOS tətbiqi

1win Azərbaycan – bukmeker və kazino ▶️ OYNA Содержимое 1win Azərbaycan-da qazanma şansını yoxla 1win Azərbaycan: bukmekeringiz və kazinonuz 1win Azərbaycan-da qazanmaq üçün nə qədər maliyyə qoyulmalıdır? 1win azərbaycan, bukmekering 1 win və kazinolara qarşılıq verən məhsulun ən məşhur veb-saytıdır.…